05 October, 2007

Don't touch the calabash

Wapendwa wasomaji wa vitabu, mliniuliza kuhusiana na vitabu vyangu ninavyoandika hapa Amerika. Hii ni cover ya kitabu changu "Don't touch the calabash"book 2 abacho picha zake mmeziona katika ukulasa uliotangulia. KITABU hiki ni dollar 10 tu. Kama mtu anaitaji tafadhali asikose kuwasiliana nami.








Kwa wale mliofika Washington DC. Nafikiri hamtasahau sehemu hii na bwana huyu mfupi kwani hiki ndicho kijiwe cha watanzania wengi wahishio DC. METRO.

Cha kushangaza ni kwamba club hii umilikiwa na mkenya lakini wanaojaza club hii ni wabongo hivi nikwasababu wabongo hawana sehemu maalumu yakwao? Je wabongo mliokuja hapa miaka kenda kweli hamuoni kuwa niwakati wa kuanzisha viji investiment nasi tukavipa majina ya nyumbani kwetu kuliko majina yetu kutumiwa na wadosi wengine? kama zanzibar club, kilimanjaro club, n.k? Nazingatia muungano lakini lazima wote tu

No comments:

Search This Blog