16 December, 2010

Ndoa ni wito kama miito mingine.


Wapendwa wasomaji wa blog hii,
nahisi kwamba ndoa nyingi zimejengwa katika misingi mibaya ndiyo maaana zimeteteleka na kujikuta zinavunjika.
Napenda wote tuyajadili yafuatayo jinsi yanavyosababisha ndoa kuvunjika:
1. uchumi
2. uhaminifu
3. mawasiliano
4. Imani
5. afya
6. ndugu na jamaa

No comments:

Search This Blog